Laster

Slzii.com Søk

Søk (Nyheter)

Mali: Angalau watu wanane wauawa na jeshi karibu na Kayes

top

Nchini Mali, angalau watu wanane wameuawa na jeshi la Mali katika wilaya ya Yélimané ya mkoa wa Kayes, karibu na mipaka ya Mauritania na Senegal. Miili hiyo ilipatikana Machi 15 na 16, kufuatia kukamatwa kwa watu wengi na jeshi la Mali siku ya Ijumaa, Machi 13, katika vijiji kadhaa. Wakazi waliowasiliana na RFI wanaogopa kwamba ugunduzi huo mbaya hautaishia hapo.
2026-03-18 05:49:10

Hva gjør du?

0.079478979110718


Nyheter
Nyheter

Siste nyheter og overskrifter
Nchini Mali, angalau watu wanane wameuawa na jeshi la Mali katika wilaya ya Yélimané ya mkoa wa Kayes, karibu na mipaka ya Mauritania na S...
Nyheter