Duru ya tano ya mazungumzo kati ya Israel na Lebanon, yaliyoratibiwa na Marekani na kutarajia kumalizika siku ya Alhamisi, Juni 25, sasa yataendelea leo Ijumaa, Juni 26, mjini Washington, Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetangaza.
2026-06-26 06:05:28