Hatua mpya inaanza leo Jumamosi, Julai 25, 2026, kwa wafuasi wa Bassirou Diomaye Faye. Muungano wa "Diomaye Rais" unatarajiwa kutoa nafasi kwa chama kipya, kilichotangazwa siku ya Ijumaa, Julai 3, 2026, ambacho jina lake litatangazwa katika mkutano mkuu wa chama hicho. Mkuu wa nchi anatarajiwa kuongoza chama hicho kipya.
2026-07-25 06:25:23