Inapakia

Slzii.com Tafuta

Tafuta (Habari)

Senegal: Rais Bassirou Diomaye Faye kutangaza jina la chama chake kipya

Senegal: Rais Bassirou Diomaye Faye kutangaza jina la chama chake kipya
Rfi swahili politics top

Hatua mpya inaanza leo Jumamosi, Julai 25, 2026, kwa wafuasi wa Bassirou Diomaye Faye. Muungano wa "Diomaye Rais" unatarajiwa kutoa nafasi kwa chama kipya, kilichotangazwa siku ya Ijumaa, Julai 3, 2026, ambacho jina lake litatangazwa katika mkutano mkuu wa chama hicho. Mkuu wa nchi anatarajiwa kuongoza chama hicho kipya.
2026-07-25 06:25:23

Unafanya nini?

0.035125017166138


Habari
Habari

Habari Mpya na Vichwa vya Habari
Hatua mpya inaanza leo Jumamosi, Julai 25, 2026, kwa wafuasi wa Bassirou Diomaye Faye. Muungano wa Diomaye Rais unatarajiwa kutoa nafasi k...
Habari