Kulingana na takwimu za mashirika ya kiraia, angalau raia 18 wameuawa siku ya Jumatano, Julai 22, 2026, katika shambulio jipya lililohusishwa na waasi wa Uganda wa ADF katika eneo la Mambasa la mkoa wa Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Shambulio hilo lililenga vijiji kadhaa katika eneo la Mambembe-Bella.
2026-07-24 04:30:11