Жүктөө

Slzii.com Издөө

Издөө (Жаңылыктар)

Kituo cha mafuta EACOP kukamilika Septemba

Kituo cha mafuta EACOP kukamilika Septemba
Habarileo swahili top business

KAGERA: Ujenzi wa Kituo cha Kusukuma Mafuta Ghafi Namba Tatu (PS3) cha Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), kilichopo katika Kijiji cha Kikagate, Kata ya Mubunda, Wilaya ya Muleba mkoani Kagera, umefikia asilimia 88 na unatarajiwa kukamilika Septemba mwaka huu. Wabia na wadau wa mradi wamefanya ziara na kutembelea kituo hicho ...
2026-08-08 09:39:28

Сен эмне кылып жатасың?

0.01113486289978


Жаңылыктар
Жаңылыктар

Акыркы Кабарлар жана Баш макалалар
KAGERA: Ujenzi wa Kituo cha Kusukuma Mafuta Ghafi Namba Tatu (PS3) cha Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), kilichopo...
Жаңылыктар