DODOMA:WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umebainisha kuwa umefanya maboresho makubwa katika mfumo wake wa usajili ili kurahisisha upatikanaji wa huduma kwa wananchi. Akizungumza katika maonesho ya wakulima nane nane jijini Dodoma, Ofisa Usajili wa BRELA, Yusuf Mwasakafyuke, amesema wananchi wanaweza kupata huduma mbalimbali, ikiwemo usajili wa majina ya biashara, usajili wa kampuni, ...
2026-08-08 09:45:22