Trump atishia kuwa Marekani inaweza kushambulia mlima wa Pickaxe, Iran
swahili top politics
Rais Donald Trump wakati akizungumza na wanahabari Ijumaa ya (Septemba 4) alitishia kuwa Marekani inaweza kushambulia mlima wa Pickaxe nchini Iran hivi karibuni. Mlima huo, uliopo karibu na kituo cha Iran cha kurutubisha urani cha Natanz ambacho kimeharibiwa vibaya kwenye mashambulio ya Marekani na Israeli, ambapo ni eneo lililoimarishwa zaidi lenye mifumo miwili ya mahandaki iliyojengwa kwa kina kikubwa chini ya ardhi. 2026-09-05 13:31:16
آخر الأخبار والعناوين
Rais Donald Trump wakati akizungumza na wanahabari Ijumaa ya (Septemba 4) alitishia kuwa Marekani inaweza kushambulia mlima wa Pickaxe nchin...
أخبار