تحميل

Slzii.com يبحث

يبحث (أخبار)

Trump atishia kuwa Marekani inaweza kushambulia mlima wa Pickaxe, Iran

Trump atishia kuwa Marekani inaweza kushambulia mlima wa Pickaxe, Iran
Rfi swahili top politics

Rais Donald Trump wakati akizungumza na wanahabari Ijumaa ya (Septemba 4) alitishia kuwa Marekani inaweza kushambulia mlima wa Pickaxe nchini Iran hivi karibuni. Mlima huo, uliopo karibu na kituo cha Iran cha kurutubisha urani cha Natanz ambacho kimeharibiwa vibaya kwenye mashambulio ya Marekani na Israeli, ambapo ni eneo lililoimarishwa zaidi lenye mifumo miwili ya mahandaki iliyojengwa kwa kina kikubwa chini ya ardhi.
2026-09-05 13:31:16

ماذا تفعل؟

0.035756826400757


أخبار
Rfi

آخر الأخبار والعناوين
Rais Donald Trump wakati akizungumza na wanahabari Ijumaa ya (Septemba 4) alitishia kuwa Marekani inaweza kushambulia mlima wa Pickaxe nchin...
أخبار