Inapakia

Slzii.com Tafuta

Tafuta (Habari)

Marekani yaanzisha upya AGOA kwa mwaka mmoja

top

Baraza la Seneti la Marekani limepiga kura siku ya Jumanne, Februari 3, 2026, kuanzisha upya AGOA kwa mwaka mmoja. Hatua hii imesainiwa mara moja kuwa sheria na Rais wa Marekani Donald Trump. AGOA inaruhusu idadi kubwa ya bidhaa za Afrika kufikia soko la Marekani bila ushuru.
2026-02-04 13:15:10

Unafanya nini?

0.087945938110352


Habari
Habari

Habari Mpya na Vichwa vya Habari
Baraza la Seneti la Marekani limepiga kura siku ya Jumanne, Februari 3, 2026, kuanzisha upya AGOA kwa mwaka mmoja. Hatua hii imesainiwa mara...
Habari