Raia wawili wa Urusi wahukumiwa jela miaka 11 nchini Angola
swahili top
Mahakama nchini Angola, imewahukumu raia wawili wa Urusi miaka 11 jela, baada ya kupatikana na hatia ya ugaidi na kufanya kazi za kijasusi kinyume cha sheria, wakati wa machafuko yaliyotokea katika nchi hiyo mwaka uliopita. 2026-07-23 03:46:15
Habari Mpya na Vichwa vya Habari
Mahakama nchini Angola, imewahukumu raia wawili wa Urusi miaka 11 jela, baada ya kupatikana na hatia ya ugaidi na kufanya kazi za kijasusi k...
Habari