تحميل

Slzii.com يبحث

يبحث (أخبار)

Chagos: London na Washington zalenga kuhakikisha mustakabali wa kambi ya Diego Garcia

top sports lifestyle

Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer na Rais wa Marekani Donald Trump wamekubaliana siku ya Jumanne, Februari 3, "kuendelea kufanya kazi kwa karibu" ili kuhakikisha operesheni endelevu ya kambi ya pamoja ya kijeshi ya Marekani na Uingereza ya Diego Garcia, katikati ya Visiwa vya Chagos. Makubaliano haya yamethibitishwa tena baada ya wiki kadhaa za mvutano wa kidiplomasia.
2026-02-04 08:03:14

ماذا تفعل؟

0.10215902328491


أخبار
أخبار

آخر الأخبار والعناوين
Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer na Rais wa Marekani Donald Trump wamekubaliana siku ya Jumanne, Februari 3, kuendelea kufanya kazi kw...
أخبار