Nchini Senegal, chama tawala, PASTEF, kimeamua kuchukuwa msimamo dhidi ya muungano wa "Diomaye rais". Wakati mzozo ukiongezeka kati ya Rais Bassirou Diomaye Faye na Waziri wake Mkuu, Ousmane Sonko, maafisa wengi wa Pastef wamechukua msimamo—katika kipindi cha saa 24 zilizopita—wakimtetea kiongozi wa chama chao, Ousmane Sonko.
2026-03-10 08:08:10