Saif al-Islam Gaddafi, mmoja wa watoto wa kiongozi wa zamani wa Libya, Muammar Gaddafi, ambaye kwa muda mrefu alichukuliwa kuwa mrithi wake na alikuwa akitafutwa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu, ameuawa siku ya Jumanne, Februari 3, vyanzo kadhaa vimethibitisha kwa RFI.
2026-02-04 05:21:44