Kwa usiku wa tisa mfululizo, wa Jumapili, Julai 19 kuakia Jumatatu, Julai 20, 2026, Marekani imetangaza kuwa imefanya mashambulizi dhidi ya Iran. Tehran imelipiza kisasi tena kwa mashambulizi dhidi ya majirani zake wa Ghuba na kudai kuhusika na shambulio la kombora dhidi ya ndege ya kijeshi ya Marekani katika uwanja wa ndege wa Aqaba wa Jordan, karibu na mpaka na Israel, "na kusababisha uharibifu mkubwa," kulingana na televisheni ya serikali.
2026-07-20 07:09:07