TABORA: Utekelezaji wa Mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha kutoka Makutopora – Tabora unatarajiwa kukamilika mwaka 2028 huku kazi za ujenzi zikiendelea kwa kasi katika maeneo mbalimbali ya mradi. Meneja wa Mradi huo, Mhandisi Christopher Kalisti anasema mradi huo unahusisha ujenzi wa kilomita 294 za njia kuu ya reli pamoja na ... 2026-07-18 19:29:11
Latest News and Headlines
TABORA: Utekelezaji wa Mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha kutoka Makutopora – Tabora unatarajiwa kukamilika mwaka 2028 huku...
News