Carregant

Slzii.com Cerca

Cerca (Notícies)

Ureno yamtaka Jean-Pierre Bemba kuja kuchukua ndege yake iliyokamatwa tangu mwaka 2007

top

Suala la ndege iliyotelekezwa kwa karibu miaka ishirini kwenye lami ya uwanja wa ndege wa Faro nchini Ureno limeibuka tena. Mamlaka ya uwanja wa ndege wa Ureno imetoa notisi rasmi kwa Jean-Pierre Bemba, Naibu Waziri Mkuu wa Uchukuzi wa Kongo wa sasa, ikitaka aje achukuwe ndege aina ya Boeing 727, ambayo ni mali yake.
2026-03-06 06:01:33

Què estàs fent?

0.089231967926025


Notícies
Notícies

Últimes notícies i titulars
Suala la ndege iliyotelekezwa kwa karibu miaka ishirini kwenye lami ya uwanja wa ndege wa Faro nchini Ureno limeibuka tena. Mamlaka ya uwanj...
Notícies