Carregando

Slzii.com Procurar

Procurar (Notícias)

DRC: Waziri wa Michezo ashinikizwa kujiuzulu baada ya malalamiko kuhusu ushirikiano na AS Monaco

lifestyle sports top

Waziri wa Michezo wa DRC Didier Budimbu Ntubuanga yuko katika hali ngumu wiki hii. Kufuatia kufunguliwa kwa uchunguzi na ofisi ya mwendesha mashtaka wa Monaco baada ya malalamiko yaliyowasilishwa na raia wawili wa Kongo wanaoishi nchini Ufaransa kuhusu ushirikiano kati ya klabu ya mpira wa miguu ya AS Monaco na serikali ya Kongo, wabunge wanatarajiwa kuwasilisha hoja ya kutokuwa na imani dhidi ya Waziri wa Michezo.
2026-03-06 04:56:57

O que você está fazendo?

0.090859174728394


Notícias
Notícias

Últimas notícias e manchetes
Waziri wa Michezo wa DRC Didier Budimbu Ntubuanga yuko katika hali ngumu wiki hii. Kufuatia kufunguliwa kwa uchunguzi na ofisi ya mwendesha ...
Notícias