Kwa usiku wa saba mfululizo, Marekani imeishambulia Iran kwa mabomu siku ya Jumamosi, Julai 18. Tehran imelipiza kisasi kwa kushambulia maeneo ya Jordan, Kuwait, na Bahrain, huku ikitishia kuanzisha "shambulio kamili." Kamandi Kuu ya Jeshi la Marekani (CENTCOM) ilmesema ilishambulia "maeneo ya uangalizi, miundombinu ya vifaa vya kijeshi, maghala ya silaha za chini ya ardhi, na mali za baharini" nchini Iran.
2026-07-18 05:24:21