Chargement

Slzii.com Recherche

Recherche (Nouvelles)

Mashariki ya Kati: Marekani yashambulia 'vituo vya silaha na maeneo ya uangalizi' nchini Iran

Mashariki ya Kati: Marekani yashambulia 'vituo vya silaha na maeneo ya uangalizi' nchini Iran
Rfi swahili politics top

Kwa usiku wa saba mfululizo, Marekani imeishambulia Iran kwa mabomu siku ya Jumamosi, Julai 18. Tehran imelipiza kisasi kwa kushambulia maeneo ya Jordan, Kuwait, na Bahrain, huku ikitishia kuanzisha "shambulio kamili." Kamandi Kuu ya Jeshi la Marekani (CENTCOM) ilmesema ilishambulia "maeneo ya uangalizi, miundombinu ya vifaa vya kijeshi, maghala ya silaha za chini ya ardhi, na mali za baharini" nchini Iran.
2026-07-18 05:24:21

Que fais-tu?

0.035715103149414


Nouvelles
Nouvelles

Dernières nouvelles et titres
Kwa usiku wa saba mfululizo, Marekani imeishambulia Iran kwa mabomu siku ya Jumamosi, Julai 18. Tehran imelipiza kisasi kwa kushambulia maen...
Nouvelles