Loading

Slzii.com karohy

karohy (NEWS)

Gabon: Nguema ahutubia taifa katika maadhimisho ya mwaka watatu wa mapinduzi ya kijeshi

Gabon: Nguema ahutubia taifa katika maadhimisho ya mwaka watatu wa mapinduzi ya kijeshi
Rfi swahili top politics

Nchini Gabon, Jumapili, Agosti 30, 2026, ni siku ya mapumziko inayolipwa katika nchi nzima. Taifa linasherehekea maadhimisho ya mwaka wa tatu ya mapinduzi yaliyopindua utawala wa familia ya Bongo, baba na mtoto. Agosti 30 ya kila mwaka sasa inaadhimishwa kama Siku ya Ukombozi. Usiku wa kuamkia sikukuu hii, Rais Brice Clotaire Oligui Nguema alitoa hotuba kwa taifa.
2026-08-30 10:13:34

Manao inona ianao?

0.033218860626221


NEWS
Rfi

Vaovao farany sy lohateny lehibe
Nchini Gabon, Jumapili, Agosti 30, 2026, ni siku ya mapumziko inayolipwa katika nchi nzima. Taifa linasherehekea maadhimisho ya mwaka wa tat...
NEWS