Nchini Gabon, Jumapili, Agosti 30, 2026, ni siku ya mapumziko inayolipwa katika nchi nzima. Taifa linasherehekea maadhimisho ya mwaka wa tatu ya mapinduzi yaliyopindua utawala wa familia ya Bongo, baba na mtoto. Agosti 30 ya kila mwaka sasa inaadhimishwa kama Siku ya Ukombozi. Usiku wa kuamkia sikukuu hii, Rais Brice Clotaire Oligui Nguema alitoa hotuba kwa taifa.
2026-08-30 10:13:34