Zimbabwe: Mkwe wa Rais Emmerson Mnangagwa akamatwa kwa ulanguzi wa dawa za kulevya
swahili top crime
Nchini Zimbabwe, mkwe wa Rais Emmerson Mnangagwa amekamatwa kwa tuhuma za ulanguzi wa dawa za kulevya na utakatishaji fedha. Mawakili wa mke wa pili wa Collins Mnangagwa wanalaani kukamatwa huko kama njama iliyopangwa na "wapinzani wa kisiasa" ili kuchafua sifa ya rais. Hata hivyo, Emmerson Mnangagwa hivi karibuni alisema katika mkutano wa chama cha Zanu-PF kwamba anaunga mkono sera ya "kutovumilia kabisa" kuhusu ulanguzi wa dawa za kulevya. 2026-08-30 10:23:44
Latest News and Headlines
Nchini Zimbabwe, mkwe wa Rais Emmerson Mnangagwa amekamatwa kwa tuhuma za ulanguzi wa dawa za kulevya na utakatishaji fedha. Mawakili wa mke...
News