Loading

Slzii.com Search

Search (News)

Algeria: Rais Tebboune amefikia makubaliano na Ujerumani

Algeria: Rais Tebboune amefikia makubaliano na Ujerumani
Rfi swahili politics top

Rais wa Algeria Abdelmadjid Tebboune anaendelea na ziara yake ya siku mbili nchini Ujerumani. Siku ya Alhamisi, Julai 16, amekutana na mwenzake Frank-Walter Steinmeier na Kansela Friedrich Merz, ambaye alifanya nao mkutano wa pamoja na waandishi wa habari. Ziara hiyo inalenga katika maendeleo ya uhusiano wa kiuchumi kati ya Ujerumani na Algeria. Hatima ya mwandishi wa habari wa Ufaransa Christophe Gleizes pia ilijadiliwa wakati wa mkutano wa Merz-Tebboune na waandishi wa habari.
2026-07-17 04:50:57

What are you doing?

0.032696008682251


News
News

Latest News and Headlines
Rais wa Algeria Abdelmadjid Tebboune anaendelea na ziara yake ya siku mbili nchini Ujerumani. Siku ya Alhamisi, Julai 16, amekutana na mwenz...
News