Senegal: Macky Sall kukutana na mrithi wake Rais Diomaye Faye
swahili politics top
Nchini Senegal, rais wa zamani Macky Sall, anatarajiwa jijini Dakar hivi leo, anakotarajiwa kukutana na kufanya mazungumzo na mrithi wake Bassirou Diomaye Faye. Sall, anawania nafasi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa. 2026-07-17 03:33:40
Latest News and Headlines
Nchini Senegal, rais wa zamani Macky Sall, anatarajiwa jijini Dakar hivi leo, anakotarajiwa kukutana na kufanya mazungumzo na mrithi wake Ba...
News