Loading

Slzii.com Search

Search (News)

Senegal: Macky Sall kukutana na mrithi wake Rais Diomaye Faye

Senegal: Macky Sall kukutana na mrithi wake Rais Diomaye Faye
Rfi swahili politics top

Nchini Senegal, rais wa zamani Macky Sall, anatarajiwa jijini Dakar hivi leo, anakotarajiwa kukutana na kufanya mazungumzo na mrithi wake Bassirou Diomaye Faye. Sall, anawania nafasi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa.
2026-07-17 03:33:40

What are you doing?

0.02881908416748


News
News

Latest News and Headlines
Nchini Senegal, rais wa zamani Macky Sall, anatarajiwa jijini Dakar hivi leo, anakotarajiwa kukutana na kufanya mazungumzo na mrithi wake Ba...
News