Wanariadha kutoka nchini Kenya, Rita Jeptoo anayeshiriki mbio za masafa marefu au Marathon, bingwa wa taifa wa mbio za mita 400 kupokezana kijiti, Wiseman Were na wanamichezo wengine 25, wamesimamishwa kutoshiriki katika mashindano yoyote ya riadha ndani na nje ya nchi hiyo.
2026-03-03 05:52:15