Wird geladen

Slzii.com Suchen

Suchen (Nachricht)

China inawasihi raia wake kuondoka Eswatini kwa sababu za kiusalama

China inawasihi raia wake kuondoka Eswatini kwa sababu za kiusalama
Rfi swahili top politics

China imewasihi raia wake kuondoka Eswatini, nchi ya kusini mwa Afrika ambayo ni moja ya mataifa machache duniani kudumisha uhusiano wa kidiplomasia na mamlaka ya Taiwani, kisiwa kinachodaiwa na Beijing, "haraka iwezekanavyo." Uamuzi huu umetangazwa rasmi kwa sababu za kiusalama.
2026-08-27 12:20:24

Was machst du?

0.0314040184021


Nachricht
Rfi

Aktuelle Nachrichten und Schlagzeilen
China imewasihi raia wake kuondoka Eswatini, nchi ya kusini mwa Afrika ambayo ni moja ya mataifa machache duniani kudumisha uhusiano wa kidi...
Nachricht