Ugunduzi wa kaburi la halaiki nchini Guinea: mashirika ya kiraia yaitaka UN kusimamia uchunguzi
swahili top crime
Kugunduliwa kwa miili sita katika kaburi la halaiki katika mkoa wa Forécariah, yapata kilomita 100 kusini-mashariki mwa Conakry, mji mkuu wa Guinea, siku ya Jumatatu, Agosti 24, kumesababisha kufunguliwa kwa uchunguzi. 2026-08-27 10:32:21
Latest News and Headlines
Kugunduliwa kwa miili sita katika kaburi la halaiki katika mkoa wa Forécariah, yapata kilomita 100 kusini-mashariki mwa Conakry, mji mkuu w...
News