تحميل

Slzii.com يبحث

يبحث (أخبار)

Angola na DRC zasaini mkataba wa ukodeshwaji wa njia ya reli ya Dilolo-Sakania

Angola na DRC zasaini mkataba wa ukodeshwaji wa njia ya reli ya Dilolo-Sakania
Rfi swahili business top

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Angola zimetia saini mkataba wa makubaliano ya miaka 30 ya ukodeshwaji wa njia ya reli ya Dilolo-Sakania na kampuni ya Mota-Engil, kusini mashariki mwa Kongo. Mkataba huo ulisainiwa siku ya Jumatano wakati wa ziara ya kikazi ya Rais wa Angola João Lourenço mjini Kinshasa.
2026-08-27 10:47:53

ماذا تفعل؟

0.029755115509033


أخبار
Rfi

آخر الأخبار والعناوين
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Angola zimetia saini mkataba wa makubaliano ya miaka 30 ya ukodeshwaji wa njia ya reli ya Dilolo-S...
أخبار