Angola na DRC zasaini mkataba wa ukodeshwaji wa njia ya reli ya Dilolo-Sakania
swahili business top
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Angola zimetia saini mkataba wa makubaliano ya miaka 30 ya ukodeshwaji wa njia ya reli ya Dilolo-Sakania na kampuni ya Mota-Engil, kusini mashariki mwa Kongo. Mkataba huo ulisainiwa siku ya Jumatano wakati wa ziara ya kikazi ya Rais wa Angola João Lourenço mjini Kinshasa. 2026-08-27 10:47:53
آخر الأخبار والعناوين
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Angola zimetia saini mkataba wa makubaliano ya miaka 30 ya ukodeshwaji wa njia ya reli ya Dilolo-S...
أخبار