Mahakama yampa kibali askari aliyefukuzwa kazi kupinga uamuzi wa IGP
swahili politics top
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Moshi, imempa kibali aliyekuwa askari wa Jeshi la Polisi, Msalika Maagi, kuwasilisha maombi ya mapitio ya kimahakama kupinga uamuzi wa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) uliomfukuza kazi baada ya kuridhika kuwa ameibua hoja zenye msingi wa kisheria zinazostahili kusikilizwa. 2026-07-14 15:18:25
Latest News and Headlines
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Moshi, imempa kibali aliyekuwa askari wa Jeshi la Polisi, Msalika Maagi, kuwasilisha maombi ya ma...
News