Loading

Slzii.com Search

Search (News)

RDC: WHO yatoa wito kwa makundi yenye silaha kusitisha vita kwa miezi sita

RDC: WHO yatoa wito kwa makundi yenye silaha kusitisha vita kwa miezi sita
Rfi swahili politics top

Shirika la Afya Duniani (WHO) limeyaomba makundi yenye silaha huko kaskazini mashariki mwa DRC kusitisha mapigano kwa muda wa miezi sita ili kuruhusu timu za matibabu kufikia idadi ya watu walio katika hatari na kuzuia maambukizi ya Ebola. Janga hilo linaendelea kuenea katika majimbo sita ya nchi.
2026-08-26 03:33:47

What are you doing?

0.031623125076294


News
Rfi

Latest News and Headlines
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeyaomba makundi yenye silaha huko kaskazini mashariki mwa DRC kusitisha mapigano kwa muda wa miezi sita ili...
News