RDC: WHO yatoa wito kwa makundi yenye silaha kusitisha vita kwa miezi sita
swahili politics top
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeyaomba makundi yenye silaha huko kaskazini mashariki mwa DRC kusitisha mapigano kwa muda wa miezi sita ili kuruhusu timu za matibabu kufikia idadi ya watu walio katika hatari na kuzuia maambukizi ya Ebola. Janga hilo linaendelea kuenea katika majimbo sita ya nchi. 2026-08-26 03:33:47
Latest News and Headlines
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeyaomba makundi yenye silaha huko kaskazini mashariki mwa DRC kusitisha mapigano kwa muda wa miezi sita ili...
News