Nchini Afrika Kusini, wageni wanaendelea kuondoka kwa wingi nchini humo, kwa hiari au kufukuzwa. Kamati ya wizara inayohusika na uhamiaji ilitangaza siku ya Jumapili Julai 12, 2026 kwamba zaidi ya watu 53,000 wamefukuzwa na kurejeshwa makwao katika wiki za hivi karibuni, hasa raia wa Malawi.
2026-07-13 05:10:20