Bezig met laden

Slzii.com Zoekopdracht

Zoekopdracht (Nieuws)

Afrika Kusini: Zaidi ya wageni 53,000 walirudishwa makwao au kufukuzwa ndani ya wiki chache

Afrika Kusini: Zaidi ya wageni 53,000 walirudishwa makwao au kufukuzwa ndani ya wiki chache
Rfi swahili politics top

Nchini Afrika Kusini, wageni wanaendelea kuondoka kwa wingi nchini humo, kwa hiari au kufukuzwa. Kamati ya wizara inayohusika na uhamiaji ilitangaza siku ya Jumapili Julai 12, 2026 kwamba zaidi ya watu 53,000 wamefukuzwa na kurejeshwa makwao katika wiki za hivi karibuni, hasa raia wa Malawi.
2026-07-13 05:10:20

Wat ben je aan het doen?

0.026321887969971


Nieuws
Nieuws

Laatste nieuws en krantenkoppen
Nchini Afrika Kusini, wageni wanaendelea kuondoka kwa wingi nchini humo, kwa hiari au kufukuzwa. Kamati ya wizara inayohusika na uhamiaji il...
Nieuws