Loading

Slzii.com Search

Search (News)

Iran na Marekani waanza duru mpya ya mazungumzo mjini Geneva katikati ya vitisho vya kijeshi

lifestyle top

Iran na Marekani zinakutana leo Alhamisi, Februari 26, kwa ajili ya duru ya tatu ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja nchini Uswisi, yenye lengo la kuvunja mkwamo wa sasa wa "si vita wala amani," kwa maneno ya rais wa Iran. Lakini saa chache tu kabla ya kuanza kwa majadiliano haya mjini Geneva, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio ametaja "tatizo kubwa," akiishutumu Tehran kwa kukataa kujadili mpango wake wa makombora ya masafa marefu.
2026-02-26 06:38:39

What are you doing?

0.082524061203003


News
News

Latest News and Headlines
Iran na Marekani zinakutana leo Alhamisi, Februari 26, kwa ajili ya duru ya tatu ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja nchini Uswisi, yenye ...
News