ਲੋਡ ਹੋ ਰਿਹਾ ਹੈ

Slzii.com ਖੋਜ

ਖੋਜ (ਖ਼ਬਰਾਂ)

Nigeria: Hatua kuelekea kufuta makosa ya jaribio la kujiua

Nigeria: Hatua kuelekea kufuta makosa ya jaribio la kujiua
Rfi swahili politics top

Serikali itawasilisha muswada kwa Bunge la taifa wa kuhalalisha sheria ili mtu aliyejaribu kujitoa uhai asichukuliwe kama mhalifu, bali apewe msaada wa kisaikolojia na matibabu. Nchini Nigeria, WHO inakadiria kwamba watu 7,000 hufariki kwa kujiua kila mwaka na kwamba kuna zaidi ya majaribio ya kujiua 300,000.
2026-08-24 09:05:56

ਤੁਸੀਂ ਕੀ ਕਰ ਰਹੇ ਹੋ?

0.023752927780151


ਖ਼ਬਰਾਂ
Rfi

ਤਾਜ਼ਾ ਖਬਰਾਂ ਅਤੇ ਸੁਰਖੀਆਂ
Serikali itawasilisha muswada kwa Bunge la taifa wa kuhalalisha sheria ili mtu aliyejaribu kujitoa uhai asichukuliwe kama mhalifu, bali apew...
ਖ਼ਬਰਾਂ