Sudan: Jeshi lasema lipo tayari kupokea mapendekezo ya Marekani lakini kwa marsharti
swahili politics top
Nchini Sudan, jeshi lipo tayari kupokea mapendekezo ya kumaliza vita, kutoka kwa Marekani, iwapo wanamgambo wa RSF watajiondoa kwenye miji yote wanayodhibiti, wakati huu vita vikiendelea kwa mwaka wa tatu. 2026-07-11 08:14:31
እዋናዊ ዜናን ኣርእስታትን
Nchini Sudan, jeshi lipo tayari kupokea mapendekezo ya kumaliza vita, kutoka kwa Marekani, iwapo wanamgambo wa RSF watajiondoa kwenye miji y...
ዜና