Loading

Slzii.com Search

Search (News)

Parfait Onanga-Anyanga ateuliwa kuwa kaimu mkuu wa ofisi ya UM Afrika ya Kati

lifestyle top

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amemteua mwanadiplomasia wa Gabon Parfait Onanga-Anyanga kama Mwakilishi wake Maalum wa Afrika ya Kati na kaimu mkuu wa Ofisi ya kikanda ya Umoja wa Mataifa kwa Afrika ya Kati (UNOCA). Mwanadiplomasia huyo wa Gabon amechukua wadhifa wake siku ya Jumatatu, akisubiri uthibitisho au uteuzi wa mkuu mwingine wa UNOCA kuchukua nafasi ya Abdou Abarry kutoka Niger, ambaye muhula wake unaisha.
2026-02-24 07:03:50

What are you doing?

0.080470085144043


News
News

Latest News and Headlines
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amemteua mwanadiplomasia wa Gabon Parfait Onanga-Anyanga kama Mwakilishi wake Maalum wa Af...
News