Kufuatia mazungumzo kati ya Walibya huko Tunis siku ya Alhamisi, Agosti 20, 2026, yaliyowezeshwa na Ujumbe wa Usaidizi wa Umoja wa Mataifa nchini Libya (UNSMIL), Sehemu za Mashariki zinazotawaliwa na Jenerali Field Marshal Haftar na zile za Magharibi zinazotawaliwa na serikali ya umoja wa kitaifa inayotambuliwa na Umoja wa Mataifa (UN) na jumuiya ya kimataifa, zinaonekana kufikia makubaliano ya mpango wa kisiasa utakaoruhusu nchi hiyo kuandaa uchaguzi wa rais na wa wabunge mnamo mwaka wa 2027.
2026-08-23 07:04:17