Wanajeshi hao wawili wa zamani wa Wagner, kundi la zamani la wanamgambo wa Urusi ambao walikuwa wanashikiliwa kaskazini mwa Mali, walikamatwa wakati wa mapigano huko Tinzaouatène, karibu na mpaka wa Algeria, mnamo mwezi Julai 2024. Mara tu baada ya kuachiliwa kwao, "kutokana na ushiriki wa nchi rafiki kwa wanajeshi wa Sahel," kulingana na chanzo cha usalama cha Mali kilichonukuliwa na AFP, walipelekwa Libya.
2026-08-23 07:43:51