Loading

Slzii.com Search

Search (News)

Mali: Wanajeshi wawili wa zamani wa kundi la Wagner wamechiliwa na wanajihadi wa Tuareg

Mali: Wanajeshi wawili wa zamani wa kundi la Wagner wamechiliwa na wanajihadi wa Tuareg
Rfi swahili crime top

Wanajeshi hao wawili wa zamani wa Wagner, kundi la zamani la wanamgambo wa Urusi ambao walikuwa wanashikiliwa kaskazini mwa Mali, walikamatwa wakati wa mapigano huko Tinzaouatène, karibu na mpaka wa Algeria, mnamo mwezi Julai 2024. Mara tu baada ya kuachiliwa kwao, "kutokana na ushiriki wa nchi rafiki kwa wanajeshi wa Sahel," kulingana na chanzo cha usalama cha Mali kilichonukuliwa na AFP, walipelekwa Libya.
2026-08-23 07:43:51

What are you doing?

0.020907878875732


News
Rfi

Latest News and Headlines
Wanajeshi hao wawili wa zamani wa Wagner, kundi la zamani la wanamgambo wa Urusi ambao walikuwa wanashikiliwa kaskazini mwa Mali, walikamatw...
News