Loading

Slzii.com Search

Search (News)

Zimbabwe: Upinzani, mashirika ya kiraia, na makanisa kupambana dhidi ya marekebisho ya Katiba

Zimbabwe: Upinzani, mashirika ya kiraia, na makanisa kupambana dhidi ya marekebisho ya Katiba
Rfi swahili politics top

Kufuatia kutangazwa kwa marekebisho mapya ya katiba ambayo, miongoni mwa mambo mengine, yatamruhusu rais kuongeza muhula wake kwa miaka miwili na kuondoa haki ya kupiga kura ya moja kwa moja kwa mkuu wa nchi, viongozi wa upinzani wameunda Muungano mpya wa raia ili kupinga marekebisho haya na kuwataka Wazimbabwe kuandamana. Makanisa na mashirika ya kiraia wameamua kujiunga na muungano huu.
2026-07-10 05:40:23

What are you doing?

0.033502817153931


News
News

Latest News and Headlines
Kufuatia kutangazwa kwa marekebisho mapya ya katiba ambayo, miongoni mwa mambo mengine, yatamruhusu rais kuongeza muhula wake kwa miaka miwi...
News