Msumbiji: Sergey Lavrov apendekeza msaada wa Urusi katika mapambano dhidi ya ugaidi
swahili politics top
Baada ya Addis Ababa na Niamey, Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi ameendelea na ziara yake barani wakati huu akiwa nchini Msumbiji. Siku ya Alhamisi, Julai 9, alikutana na Rais wa Msumbiji Daniel Chapo na mwenzake, Waziri Maria Dos Santos Lucas. Alipendekeza msaada wa Urusi katika mapambano dhidi ya ugaidi unaolikumba jimbo la Cabo Delgado. 2026-07-10 06:13:19
Latest News and Headlines
Baada ya Addis Ababa na Niamey, Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi ameendelea na ziara yake barani wakati huu akiwa nchini Msumbiji. Siku ya Al...
News