Ufaransa yafuzu nusu fainali ya kombe la dunia, yaiondoa Morocco
swahili sports top
Wachezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa, Kylian Mbappe na Ousmane Dembele, usiku wa kuamkia leo walifunga magoli muhimu yaliyotamatisha safari ya wawakilishi pekee wa Afrika waliokuwa wamesalia kwenye fainali za kombe la dunia, timu ya taifa ya Morocco na kutinga hatua ya nusu fainali. 2026-07-10 03:32:54
ຂ່າວຫຼ້າສຸດ ແລະຫົວຂໍ້ຂ່າວ
Wachezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa, Kylian Mbappe na Ousmane Dembele, usiku wa kuamkia leo walifunga magoli muhimu yaliyotamatisha safar...
ຂ່າວ