Raia wa Zambia wajiandaa kwa uchaguzi mkuu wa mwezi ujao
swahili politics top
Nchini Zambia wakati huu raia wakijiandaa kwa uchaguzi Mkuu wa mwezi ujao, Rais Hakainde Hichilema licha ya kupewa nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi huo kwa muhula mwengine, anatarajiwa kupimwa kutokana na rekodi yake ya mabadiliko ya kiuchumi aliyofanya tangu aingie madarakani, mpinzani wake mkubwa akiwa ni kiongozi wa upizani Brian Mundubile. 2026-07-10 03:37:00
Nyadzɔdzɔ yeyewo kple Tanyawo
Nchini Zambia wakati huu raia wakijiandaa kwa uchaguzi Mkuu wa mwezi ujao, Rais Hakainde Hichilema licha ya kupewa nafasi kubwa ya kushinda ...
Nyadzɔdzɔ