DRC: Muungano wa upinzani wa C64 waweka masharti yake kabla ya mazungumzo yoyote na Kinshasa
swahili politics top
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, muungano wa upinzani wa C64 umeweka masharti yake kabla ya mazungumzo yoyote na serikali. Wajumbe wa upinzani walifanya mkutano na waandishi wa habari mjini Kinshasa siku ya Alhamisi kuelezea mbinu yao ya kutatua mgogoro wa kisiasa na usalama mashariki, miaka miwili kabla ya kumalizika kwa muhula wa pili wa Félix Tshisekedi. 2026-07-10 04:18:21
آخر الأخبار والعناوين
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, muungano wa upinzani wa C64 umeweka masharti yake kabla ya mazungumzo yoyote na serikali. Wajumbe w...
أخبار