Hadja Lahbib amezuru mji mkuu wa mkoa wa Kivu Kaskazini siku ya Ijumaa, Februari 20, ambapo alikutana na ujumbe wa maafisa kutoka AFC/M23, kundi linalodhibiti mji huo. Kufuatia majadiliano hayo, amesema kwamba "amepata ahadi thabiti kutoka kwa pande zote [...] alizokutana nazo" na "anatumaini kwamba zitatekelezwa."
2026-02-21 07:51:23