로드 중

Slzii.com 찾다

찾다 (소식)

DRC: Kamishna wa misaada ya kibinadamu wa EU akamilisha ziara yake Goma

lifestyle top

Hadja Lahbib amezuru mji mkuu wa mkoa wa Kivu Kaskazini siku ya Ijumaa, Februari 20, ambapo alikutana na ujumbe wa maafisa kutoka AFC/M23, kundi linalodhibiti mji huo. Kufuatia majadiliano hayo, amesema kwamba "amepata ahadi thabiti kutoka kwa pande zote [...] alizokutana nazo" na "anatumaini kwamba zitatekelezwa."
2026-02-21 07:51:23

뭐하세요?

0.087599039077759


소식
소식

최신 뉴스 및 헤드라인
Hadja Lahbib amezuru mji mkuu wa mkoa wa Kivu Kaskazini siku ya Ijumaa, Februari 20, ambapo alikutana na ujumbe wa maafisa kutoka AFC/M23, k...
소식