Syria: Taasisi za Kikurdi sasa zimeunganishwa na zile za serikali
swahili politics top
Kiongozi wa Kikurdi, Mazloum Abdi, alitangaza siku ya Alhamisi, Agosti 20, mwisho wa mchakato wa kuziunganisha taasisi za kiraia na kijeshi za Kikurdi ndani ya serikali ya Syria, jambo linalofutilia mbali matumaini ya uhuru wa kujitawala kwa jamii hiyo. 2026-08-21 08:43:42
最新新闻和头条新闻
Kiongozi wa Kikurdi, Mazloum Abdi, alitangaza siku ya Alhamisi, Agosti 20, mwisho wa mchakato wa kuziunganisha taasisi za kiraia na kijeshi ...
消息