Nchini Zambia, baada ya siku tano za uvumi na mashaka, mamlaka imethibitisha siku ya Jumatano, Agosti 19, 2026, kifo cha mbunge na waziri wa zamani Mutotwe Kafwaya, aliyeuawa katika "urushianaji risasi" katika msako wa polisi uliolenga rasmi kusambaratisha "kundi la wanamgambo" lililo karibu na kiongozi wa upinzani Brian Mundubile.
2026-08-21 07:15:40