Loading

Slzii.com Search

Search (News)

Senegal: Serikali yaidhinisha muswada unaolenga kuimarisha sheria kuhusu wapenzi wa jinsia moja

lifestyle top

Muswada huo uliyopitishwa na baraza la mawaziri jioni ya Jumatano, Februari 18, unalenga kuongeza adhabu kwa wale watakaopatikana na hatia ya "vitendo kinyume na maumbile" na kuzipanua kwa mashirika ambayo "yanakuza" mahusiano ya wapenzi wa jinsia moja. Sheria hii mpya bado inahitaji idhini ya bunge kabla ya kuanza kutumika.
2026-02-20 05:08:07

What are you doing?

0.11927509307861


News
News

Latest News and Headlines
Muswada huo uliyopitishwa na baraza la mawaziri jioni ya Jumatano, Februari 18, unalenga kuongeza adhabu kwa wale watakaopatikana na hatia y...
News