Loading
x
This website uses essential cookies. With your consent, we place Google Analytics cookies for statistics.

Cookie Policy for Slzii.com

This is the Cookie Policy for Slzii.com, accessible from slzii.com

What Are Cookies

As is common practice with almost all professional websites this site uses cookies, which are tiny files that are downloaded to your computer, to improve your experience. This page describes what information they gather, how we use it and why we sometimes need to store these cookies. We will also share how you can prevent these cookies from being stored however this may downgrade or 'break' certain elements of the sites functionality.

How We Use Cookies

We use cookies for a variety of reasons detailed below. Unfortunately in most cases there are no industry standard options for disabling cookies without completely disabling the functionality and features they add to this site. It is recommended that you leave on all cookies if you are not sure whether you need them or not in case they are used to provide a service that you use.

Disabling Cookies

You can prevent the setting of cookies by adjusting the settings on your browser (see your browser Help for how to do this). Be aware that disabling cookies will affect the functionality of this and many other websites that you visit. Disabling cookies will usually result in also disabling certain functionality and features of the this site. Therefore it is recommended that you do not disable cookies. This Cookies Policy was created with the help of the Cookies Policy Generator.

The Cookies We Set

  • Account related cookies

    If you create an account with us then we will use cookies for the management of the signup process and general administration. These cookies will usually be deleted when you log out however in some cases they may remain afterwards to remember your site preferences when logged out.

  • Login related cookies

    We use cookies when you are logged in so that we can remember this fact. This prevents you from having to log in every single time you visit a new page. These cookies are typically removed or cleared when you log out to ensure that you can only access restricted features and areas when logged in.

  • Site preferences cookies

    In order to provide you with a great experience on this site we provide the functionality to set your preferences for how this site runs when you use it. In order to remember your preferences we need to set cookies so that this information can be called whenever you interact with a page is affected by your preferences.

Third Party Cookies

In some special cases we also use cookies provided by trusted third parties. The following section details which third party cookies you might encounter through this site.

  • This site uses Google Analytics which is one of the most widespread and trusted analytics solution on the web for helping us to understand how you use the site and ways that we can improve your experience. These cookies may track things such as how long you spend on the site and the pages that you visit so we can continue to produce engaging content.

    For more information on Google Analytics cookies, see the official Google Analytics page.

  • Third party analytics are used to track and measure usage of this site so that we can continue to produce engaging content. These cookies may track things such as how long you spend on the site or pages you visit which helps us to understand how we can improve the site for you.

  • From time to time we test new features and make subtle changes to the way that the site is delivered. When we are still testing new features these cookies may be used to ensure that you receive a consistent experience whilst on the site whilst ensuring we understand which optimisations our users appreciate the most.

  • We also use social media buttons and/or plugins on this site that allow you to connect with your social network in various ways. For these to work the following social media sites including; {List the social networks whose features you have integrated with your site?:12}, will set cookies through our site which may be used to enhance your profile on their site or contribute to the data they hold for various purposes outlined in their respective privacy policies.

More Information

Hopefully that has clarified things for you and as was previously mentioned if there is something that you aren't sure whether you need or not it's usually safer to leave cookies enabled in case it does interact with one of the features you use on our site.

For more general information on cookies, please read the Cookies Policy article.

However if you are still looking for more information then you can contact us through one of our preferred contact methods:

  • By visiting this link: https://www.slzii.com/contact

Search (News)

Timamy azua joto kutaka mwandani kumrithi 2027
SIASA za kumrithi Gavana wa Kaunti ya Lamu Issa Timamy zimepamba moto huku zaidi ya wagombea saba wakijitokeza wakiwemo waliowahi kuwa manaibu wa magavana na wanasiasa wengine tajika.Gavana Timamy ambaye anachukua fursa ya kuwa kiongozi wa chama cha ANC ambacho kiko na mkataba na chama tawala UDA, anapata fursa hiyo kuanza kampeni za kumrithisha mwandani wake ili kuendeleza sera zake.Ikizingatiwa kuwa chama cha ODM hakina wagombeaji shupavu ikilinganishwa na uchaguzi uliopita, Bw Timamy anategemea kuidhinishwa na Rais William Ruto kuongoza siasa eneo hilo jambo ambalo limepelekea kupinga amri ya mahakama iliyotolewa wiki jana kuwa ANC haiko kwa muungano wa UDA.Bw Timamy amesistiza kuwa chama cha ANC kiko halali na yote yaliyotajwa mahakamani yalitatuliwa jambo ambalo litamweka kifua mbele kupigia debe wandani wake 2027.Katika uchaguzi uliopita, chama cha ODM kilijidhihirisha kuwa kiko hafifu katika Kaunti hiyo hivyo kinampa Bw Timamy nguvu ya kuwa na usemi wa siasa za 2027.Katika uchaguzi wa 2022, Timamy aliibuka mshindi kwa kura 24,198 kwa chama cha ANC akifuatwa na Fahim Twaha wa Jubilee kwa kura 16,054, Umra Omar wa Safina (7556) na Eric Mugo wa Narc-K kwa kura 2,151 huku mgombea wa ODM Omar Buno akirambishwa sakafu kwa kura chini ya kura 2000.Huku mwaka wa 2027 unapowadia, na kipindi cha siasa kupamba moto, Kaunti ya Lamu inazidi kuvutia wanasiasa na wafanyibiashara kwa kiti cha ugavana wakiahidi kutekeleza yale magavana waliotangulia wameshindwa kutatua.Bw Timamy ambaye anamaliza kipindi chake baada ya kuhudumu mihula miwili kikatiba, anaonekana kutaka kuendeleza uongozi wake kupitia kwa wandani wake.Wiki hii, gavana Timamy baada ya kuchagua naibu wake kumpendekeza naibu wake, Dkt Mbarak Mohamed na aliyekuwa mbunge wa Lamu Magharibi Julius Ndegwa kumrithi ifikapo mwisho wa muhula wake.Kuchagua viongozi hao kumezua tetesi mbalimbali kwani wawili hao ni wandani wake akiwa Bw Ndegwa kama mshauri katika ofisi ya Gavana Timamy.Hata hivyo, Bw Timamy amesifiwa kwa kupendekeza wawili hao kwa kujaribu kuleta uwiano wa kidini na kikabila jambo ambalo limekuwa likisumbua wakazi wa kaunti hiyo.“Lamu kumekuwa na mjadala wa uongozi kwa misingi ya dini na kabila, na jambo ambalo Timamy amefanya ni la msingi ili kuboresha umoja,” alisema Juma Shehe, mkazi wa Witu.Licha ya yote, wakazi tayari wameweka vigezo vitakavyotumika kupiga msasa viongozi wakisema iko haja ya kutatua mambo ambayo yamekuwa yakikumba wakazi wa Lamu.Bi Khadija Juma, katika mkutano wa uzinduzi wa kusajili wapigakura uliofanyika mapema Januari mwaka huu eneo la Mokowe, alisema sera ni mojawapo ya vigezo muhimu wakazi wataangalia wakati wa kupiga kura, sio dini, kabila au tabaka.“Kiongozi ambaye ataleta suluhu la donda sugu la ardhi, uskwota, ukosefu wa hatimiliki za ardhi ataweza kupata uungwaji mkono mkubwa kwani hilo ni suala muhimu linaloathiri wakazi. Ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana na njia za kupambana na dawa za kulevya ambazo zinaathiri vijana wengi Lamu nalo lazima liwe kwa sera ya wagombeaji,” alisema Bi Khadija.Kinyang’anyiro hicho ambacho kimevutia zaidi ya wagombeaji saba kwa sasa; akiwemo mwanamke pekee Seneta mteule Shakila Abdalla akiwa mbioni kuchaguliwa gavana wa kwanza kwa kike Kaunti hiyo.Kati ya waliojitangaza kugombea ni pamoja na aliyewahi kuwa gavana wa Lamu Fahim Twaha akiwaomba wakazi kumpa nafasi kukamilisha yale aliyoanza hapo awali kwa muhula 2017–2022 kabla ya kung’olewa na Bw Timamy.Eric Mugo Kinyua, aliyewahi kuwa Naibu Gavana kati ya 2013–2017 wakati wa kipindi cha Bw Timamy cha kwanza, amejitangaza kama mgombea wa sera za maendeleo endelevu.Wengine ambao wanatarajiwa kujitosa kwa kinyang’anyiro hicho ni katibu wa uekezaji Abubakar Hassan, aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Huduma ya Polisi ya Kitaifa Eliud Kinuthia ambaye alijikita katika haki, usalama na utawala bora pamoja na Stanley Muthama ambaye ni Mbunge wa sasa wa Lamu Magharibi.
2026-02-02 11:38:06

0.24542117118835


News
Timamy azua joto kutaka mwandani kumrithi 2027

News
SIASA za kumrithi Gavana wa Kaunti ya Lamu Issa Timamy zimepamba moto huku zaidi ya wagombea saba wakijitokeza wakiwemo waliowahi kuwa manaibu wa magavana na wanasiasa wengine tajika.Gavana Timamy ambaye anachukua fursa ya kuwa kiongozi wa chama cha ANC ambacho kiko na mkataba na chama tawala UDA, anapata fursa hiyo kuanza kampeni za kumrithisha mwandani wake ili kuendeleza sera zake.Ikizingatiwa kuwa chama cha ODM hakina wagombeaji shupavu ikilinganishwa na uchaguzi uliopita, Bw Timamy anategemea kuidhinishwa na Rais William Ruto kuongoza siasa eneo hilo jambo ambalo limepelekea kupinga amri ya mahakama iliyotolewa wiki jana kuwa ANC haiko kwa muungano wa UDA.Bw Timamy amesistiza kuwa chama cha ANC kiko halali na yote yaliyotajwa mahakamani yalitatuliwa jambo ambalo litamweka kifua mbele kupigia debe wandani wake 2027.Katika uchaguzi uliopita, chama cha ODM kilijidhihirisha kuwa kiko hafifu katika Kaunti hiyo hivyo kinampa Bw Timamy nguvu ya kuwa na usemi wa siasa za 2027.Katika uchaguzi wa 2022, Timamy aliibuka mshindi kwa kura 24,198 kwa chama cha ANC akifuatwa na Fahim Twaha wa Jubilee kwa kura 16,054, Umra Omar wa Safina (7556) na Eric Mugo wa Narc-K kwa kura 2,151 huku mgombea wa ODM Omar Buno akirambishwa sakafu kwa kura chini ya kura 2000.Huku mwaka wa 2027 unapowadia, na kipindi cha siasa kupamba moto, Kaunti ya Lamu inazidi kuvutia wanasiasa na wafanyibiashara kwa kiti cha ugavana wakiahidi kutekeleza yale magavana waliotangulia wameshindwa kutatua.Bw Timamy ambaye anamaliza kipindi chake baada ya kuhudumu mihula miwili kikatiba, anaonekana kutaka kuendeleza uongozi wake kupitia kwa wandani wake.Wiki hii, gavana Timamy baada ya kuchagua naibu wake kumpendekeza naibu wake, Dkt Mbarak Mohamed na aliyekuwa mbunge wa Lamu Magharibi Julius Ndegwa kumrithi ifikapo mwisho wa muhula wake.Kuchagua viongozi hao kumezua tetesi mbalimbali kwani wawili hao ni wandani wake akiwa Bw Ndegwa kama mshauri katika ofisi ya Gavana Timamy.Hata hivyo, Bw Timamy amesifiwa kwa kupendekeza wawili hao kwa kujaribu kuleta uwiano wa kidini na kikabila jambo ambalo limekuwa likisumbua wakazi wa kaunti hiyo.“Lamu kumekuwa na mjadala wa uongozi kwa misingi ya dini na kabila, na jambo ambalo Timamy amefanya ni la msingi ili kuboresha umoja,” alisema Juma Shehe, mkazi wa Witu.Licha ya yote, wakazi tayari wameweka vigezo vitakavyotumika kupiga msasa viongozi wakisema iko haja ya kutatua mambo ambayo yamekuwa yakikumba wakazi wa Lamu.Bi Khadija Juma, katika mkutano wa uzinduzi wa kusajili wapigakura uliofanyika mapema Januari mwaka huu eneo la Mokowe, alisema sera ni mojawapo ya vigezo muhimu wakazi wataangalia wakati wa kupiga kura, sio dini, kabila au tabaka.“Kiongozi ambaye ataleta suluhu la donda sugu la ardhi, uskwota, ukosefu wa hatimiliki za ardhi ataweza kupata uungwaji mkono mkubwa kwani hilo ni suala muhimu linaloathiri wakazi. Ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana na njia za kupambana na dawa za kulevya ambazo zinaathiri vijana wengi Lamu nalo lazima liwe kwa sera ya wagombeaji,” alisema Bi Khadija.Kinyang’anyiro hicho ambacho kimevutia zaidi ya wagombeaji saba kwa sasa; akiwemo mwanamke pekee Seneta mteule Shakila Abdalla akiwa mbioni kuchaguliwa gavana wa kwanza kwa kike Kaunti hiyo.Kati ya waliojitangaza kugombea ni pamoja na aliyewahi kuwa gavana wa Lamu Fahim Twaha akiwaomba wakazi kumpa nafasi kukamilisha yale aliyoanza hapo awali kwa muhula 2017–2022 kabla ya kung’olewa na Bw Timamy.Eric Mugo Kinyua, aliyewahi kuwa Naibu Gavana kati ya 2013–2017 wakati wa kipindi cha Bw Timamy cha kwanza, amejitangaza kama mgombea wa sera za maendeleo endelevu.Wengine ambao wanatarajiwa kujitosa kwa kinyang’anyiro hicho ni katibu wa uekezaji Abubakar Hassan, aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Huduma ya Polisi ya Kitaifa Eliud Kinuthia ambaye alijikita katika haki, usalama na utawala bora pamoja na Stanley Muthama ambaye ni Mbunge wa sasa wa Lamu Magharibi.
News