Gabon: Kanisa la kiinjili limetumbukia katika mgogoro wa madaraka
swahili politics top
Nchini Gabon, Kanisa la Kiinjili (linalojulikana kama jumuia kongwe zaidi ya Kiinjili katika Afrika ya Kati) liko katika mgogoro tangu wagombea wawili walipochukua uongozi wa Kanisa hilo kwa wakati mmoja. Kwa kuhofia hatari ya vurugu za umma, Wizara ya Mambo ya Ndani iliamua kusitisha uongozi wa kanisa kama hatua ya tahadhari na kisha ikaamuru kumchagua rais mmoja ndani ya miezi mitatu. 2026-08-19 11:50:33
Najnovije vijesti i naslovi
Nchini Gabon, Kanisa la Kiinjili (linalojulikana kama jumuia kongwe zaidi ya Kiinjili katika Afrika ya Kati) liko katika mgogoro tangu wagom...
Vijesti