Inapakia

Slzii.com Tafuta

Tafuta (Habari)

Urusi na Ghana zinatafuta kuimarisha uhusiano wao wa kidiplomasia na kiuchumi

Urusi na Ghana zinatafuta kuimarisha uhusiano wao wa kidiplomasia na kiuchumi
Rfi swahili politics top

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ghana, tangu siku ya Jumatatu, Agosti 17, amekuwa akizuru Urusi. Samuel Okudzeto Ablakwa alifanya mkutano wa pamoja na waandishi wa habari na mwenzake wa Urusi, Sergey Lavrov. Wakizungumza na waandishi wa habari, wawili hao walijadili kuimarisha ushirikiano wao wa kidiplomasia na kiuchumi, pamoja na changamoto za usalama Afrika Magharibi na Sahel, na suala la raia wa Ghana kupigania jeshi la Urusi nchini Ukraine.
2026-08-19 11:06:29

Unafanya nini?

0.01980996131897


Habari
Rfi

Habari Mpya na Vichwa vya Habari
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ghana, tangu siku ya Jumatatu, Agosti 17, amekuwa akizuru Urusi. Samuel Okudzeto Ablakwa alifanya mkutano wa pamoj...
Habari