Niger yawasilisha ombi la kujiondoa kama mwanachama wa ICC
swahili politics top
Utawala wa kijeshi wa Niger, umewasilisha rasmi barua ya kutaka kujitoa kama mwanachama wa mahakama ya kimataifa inayoshughulikia kesi za uhalifu wa kivita, hatua hii ikija miezi tisa kupita tangu itangaze kuwa itafanya hivyo sambamba na Mali pamoja na Burkina Faso. 2026-06-24 03:59:40
Τελευταίες ειδήσεις και τίτλοι
Utawala wa kijeshi wa Niger, umewasilisha rasmi barua ya kutaka kujitoa kama mwanachama wa mahakama ya kimataifa inayoshughulikia kesi za uh...
Νέα