Na-ebugo

Slzii.com Chọọ

Chọọ (Akụkọ)

Mali: Waasi wa FLA wamepiga kambi katika mji wa kimkakati wa Anéfis

Mali: Waasi wa FLA wamepiga kambi katika mji wa kimkakati wa Anéfis
Rfi swahili top crime

Nchini Mali, mashambulizi yaliyoratibiwa yamefanyika Jumamosi katika angalau maeneo sita kaskazini, katikati, na kusini mwa nchi. Serikali inabainisha kwamba hali iko chini ya udhibiti. Muungano wa makundi ya wanajihadi yenye uhusiano na Al Qaeda na waasi wanaoataka kujitenga wa Azawad Liberation Front (FLA) unadai kuwa umefikia malengo yake.
2026-07-05 04:55:06

Kedu ihe ị na-eme?

0.02649188041687


Akụkọ
Akụkọ

Akụkọ kacha ọhụrụ na akụkọ
Nchini Mali, mashambulizi yaliyoratibiwa yamefanyika Jumamosi katika angalau maeneo sita kaskazini, katikati, na kusini mwa nchi. Serikali i...
Akụkọ