Mali: Waasi wa FLA wamepiga kambi katika mji wa kimkakati wa Anéfis
swahili top crime
Nchini Mali, mashambulizi yaliyoratibiwa yamefanyika Jumamosi katika angalau maeneo sita kaskazini, katikati, na kusini mwa nchi. Serikali inabainisha kwamba hali iko chini ya udhibiti. Muungano wa makundi ya wanajihadi yenye uhusiano na Al Qaeda na waasi wanaoataka kujitenga wa Azawad Liberation Front (FLA) unadai kuwa umefikia malengo yake. 2026-07-05 04:55:06
Akụkọ kacha ọhụrụ na akụkọ
Nchini Mali, mashambulizi yaliyoratibiwa yamefanyika Jumamosi katika angalau maeneo sita kaskazini, katikati, na kusini mwa nchi. Serikali i...
Akụkọ