Loading

Slzii.com Search

Search (News)

Mahakama ya Kimataifa ya Haki yapanga ratiba ya kesi zilizoanzishwa na DRC dhidi ya Rwanda

Mahakama ya Kimataifa ya Haki yapanga ratiba ya kesi zilizoanzishwa na DRC dhidi ya Rwanda
Rfi swahili politics top

Mahakama ya Kimataifa ya Haki (International Court of Justice) imeweka tarehe za kuwasilisha maandishi katika kesi kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Rwanda, ambapo DRC inatakiwa kuwasilisha maelezo yake ifikapo Oktoba 4, 2027, na Rwanda iwe imejibu Desemba 4, 2028.
2026-08-06 12:11:35

What are you doing?

0.029880046844482


News
Rfi

Latest News and Headlines
Mahakama ya Kimataifa ya Haki (International Court of Justice) imeweka tarehe za kuwasilisha maandishi katika kesi kati ya Jamhuri ya Kidemo...
News