Bezig met laden

Slzii.com Zoekopdracht

Zoekopdracht (Nieuws)

Chad: Succès Masra kushiriki kwenye mazungumzo ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa

Chad: Succès Masra kushiriki kwenye mazungumzo ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa
Rfi swahili politics top

Siku moja baada ya kuachiliwa kwake, Waziri Mkuu wa zamani na kiongozi wa upinzani nchini Chad, Succès Masra, aliyepewa msamaha na rais Mahamat Déby Itno na kuachiliwa siku ya Ijumaa, Agosti 14, alikutana na wafuasi wake siku ya Jumamosi jioni katika makao makuu ya chama chake, Les Transformateurs, mbele ya vyombo kadhaa vya habari. Hii ilitoa fursa ya kuelezea nia yake ya siku zijazo, ingawa bado hastahili kushika wadhifa huo.
2026-08-16 08:04:41

Wat ben je aan het doen?

0.021920204162598


Nieuws
Rfi

Laatste nieuws en krantenkoppen
Siku moja baada ya kuachiliwa kwake, Waziri Mkuu wa zamani na kiongozi wa upinzani nchini Chad, Succès Masra, aliyepewa msamaha na rais Mah...
Nieuws